Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,422
- 5,659
- Thread starter
-
- #401
Ladha yake ikoje?hili tunda la mwisho nliwahi kwenda tanga maeneo ya maramba nikalila
chachuchachu hivi ila ukilizoe liko poa maana sio chachu sanaLadha yake ikoje?
Maboga yenyewe kwa sisi tuliozoea na kukulia ugali ni mtihani kabisa kutushawishi kuwa ndiyo lunch hiyo afu turidhike[emoji23] sijajua Singida wanaweza vipi[emoji1787][emoji1787]Umenikumbusha Singida. Hiki chakula nilikila kwa kulazimishwa tu, sikuwai kuyapenda mamumunya bora maboga kwa mbali.
Hope siku moja nami ntabahatika kulila.chachuchachu hivi ila ukilizoe liko poa maana sio chachu sana
Mac Alpho naomba nikusalimie leo tafadhali sana... ππKishumba π€£View attachment 2635531
πππWacha wee π€£
Siti ya mbele kabisa ππππ
Wapare wote peponi...
Haya nayafananisha na matunda fulani ya asili, sijui kama ni yenyewe. Hustawi pembezoni ya mito tuTamaduni zetu (upikaji, uandaaji na uhifadhi salama wa vyakula vya asili)View attachment 2653848View attachment 2653849View attachment 2653850View attachment 2653851View attachment 2653852View attachment 2653853View attachment 2653854View attachment 2653855View attachment 2653856View attachment 2653857View attachment 2653858View attachment 2653859View attachment 2653860View attachment 2653861View attachment 2653862View attachment 2653863
πKitalolo
Kiburu
Ngande
Kitawa,
Ngararimu
Kitarasa
Nduu
Kimantine.
Elezea ni vyakula vya jamii/kabila gani halafu tubariki na picha kama unazoKitalolo
Kiburu
Ngande
Kitawa,
Ngararimu
Kitarasa
Nduu
Kimantine.