Charlzy De Nice
Member
- Jan 21, 2013
- 15
- 8
Picha ya kwanza inaonesha kilimo cha nyumba... unapanda chumba kimoja inaota nyumba kubwa... kenya kilimo hiko hakijafikaPoleni sana lakini lazima tucheke kidogo juu tunajuana mtatucheka pia.View attachment 1096868View attachment 1096869View attachment 1096870
haaahaaHehehe mvua imesaidia slayqueens wa Dar wakapata swimming pool. View attachment 1096974
Kuuliza sio mbaya, hizi baiskeli zinafanya nini kwenye jiji?View attachment 1096866View attachment 1096867
[emoji23][emoji23] Wakenya walilalamika tumeiba mvua yaoKwani Nairobi imenyesha mvua this year
This is Nairobi ...Nimekubali Kenya kuna shida lakini hii nayo inachekesha. I haven't seen something like this in Nairobi this year.View attachment 1096856
Nimekubali Kenya kuna shida lakini hii nayo inachekesha. I haven't seen something like this in Nairobi this year.View attachment 1096856
This is Nairobi ...
View attachment 1097033 View attachment 1097037View attachment 1097038View attachment 1097041View attachment 1097046View attachment 1097053
Holla at me! I got plenty more!
Excuses as normal.Huwezi kuona ndio mwaka huu kwani Kenya mvua imenyesha ??? Angalia nyumba hizo Maji yamefika hadi kwa paa lakin nyumba bado imesimama sijui kibera ikija pata mafuriko ka hayo kama Yale mabati yenu yatasimama hivyo...hahaha
Hizo zaitwa guta,Kwa sasa ndio main means of transportation ni Dar ya 2019 , kweli Tanzania sio Ile ya 90s.Kuuliza sio mbaya, hizi baiskeli zinafanya nini ndani ya mji?View attachment 1096866View attachment 1096867
"I haven't seen something like this in Nairobi this year." But you have seen it before in NairobiNimekubali Kenya kuna shida lakini hii nayo inachekesha. I haven't seen something like this in Nairobi this year.View attachment 1096856
Hehe ...Soory ndugu, tuko May 2019.
Haaaa haaaa New York ya jangwani hiyoπ π π Hahaa! Nimeshindwa kujizuia aisee... We Teargass hizi picha unazifukunyua wapi?...
Kama ingekuwa kibera nadhani saai ungekuwa ndani ya mavi unaogelea.Haaaa haaaa New York ya jangwani hiyo
Ldc in everything
Ldc but wananchi wake hawana njaaHaaaa haaaa New York ya jangwani hiyo
Ldc in everything
Were si unaishi turkana nairobi huifahamu"I haven't seen something like this in Nairobi this year." But you have seen it before in Nairobi
Dah, huyu slay queen wa kibongo ana 'surface area' kubwa sana usoni, nywele zake zitakuwa zipo sehemu nyingine mwilini lakini sio kichwani. [emoji40]Hehehe mvua imesaidia slayqueens wa Dar wakapata swimming pool. View attachment 1096974