Tanzanians don't travel, sijui ni kukosa pesa ama kuna la zaidi!

Msapere

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,165
Reaction score
1,543
Hapa Kuna hadi Togo, Somalia, Uganda, Nigeria, Rwanda.. Yani kwa majirani wetu wote Tanzania pekee ndio hawapo... Nimeelewa kwa nini ATCL hubeba abiria wawili kutoka dar hadi Kampala.. Na abiria Hawa hukua Wananchi wa Uganda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania tuna safiri sana tu, ndege yenu ya KQ ni sisi ambao tunaijaza.
 
Kwahiyo ulitaka na watanzania wafe??? Au mimi sijaelewa point yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio anamaanisha,huyu bure kabisa..
Ndio hawa wakiwa na pesa akitembea mitaani akiona kitu ananunua hatakama hukuwa na ratiba/mipango ya kununua.....

Kuwa na pesa haimaanishi usafiri mara kwa mara bila kujua unasafiri ili ukafanye nini? Kila kitu wanatumbukiza siasa tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ethiopian airlines inakuja mara mbili kwa siku Dar
Saa kumi asubuhi B737
Saa saba mchaba B787/B767

kilimanjaro Daily na Airbus A350 ..yes you read correct A350

Zanzibar daily B787/A350
Sasa kwann wa Tz tupitie nairobi tena na ethiopian
Mada yako haina kichwa wala miguu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio wafe ila hakukua na mbongo Ata mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
So what.... unataka kufanya donation ama kutoa free trips ili watu wasafiri ama ???....

Kusafiri nako ni fahari au sifa... Tunajua mna diaspora kubwa zaidi yetu na pengine mmetapakaa dunia nzima lakini kuutumia huu msiba tu ili uwa-mock waTz ni kukosa fikra japo akili unazo.. Ukikosa fikra bhasi tumia hata ubinadamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mnigeria, mtogo, mjerumani etc so wamaanisha hakuna ndege ya Addis-Lagos??? Kuna hadi Mozambique Kuna mmoja na Kuna direct flights to maputo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni ajali Buda Ata wewe utaeza Pata ajali ukufe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Direct flight ya Ethiopian Airways inatua JNIA kila siku.

Sasa ya nini upande ya Jomo Kenyatta wakati ipo ya kuja nyumbani direct?
 
Wacha ujinga mmeanza conspiracy! Why should a Tanzanian fly to Dar, Kilimanjaro/Arusha or Zanzibar from Addis Ababa via Nairobi while there are daily direct flights to those destinations from Addis Ababa using dreamliner?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…