Unavyobubujikwa povu loohSielewi unachochekea chekea, mada kama hizi uwe unawatafsiria wale ndugu zako wa mada za Alshabaab na Kibera, maana hapa wanapita kimya hawajui kipi cha kushabikia.
Tumewashinda nyie kwenye viashirio vya HDI vikiwemo afya, elimu na kipato cha kila mmoja. Hata GNI ni miujiza kwetu kuwa hapo ukizingatia nchi yetu yenyewe nusu kame tupu. Nyie hapo nchi kubwa yenye rotuba kila shemu, madini mengi, halafu ni muungano wa nchi mbili zenye vivutio bora vya utalii na kila kitu, leo hii unakenua meno eti nusra muishinde Kenya.
swadakta naona umeanza kuwa mstaarabu...sasa wafunze pia akina Cicero na GezaKama hujasoma huwez shangilia wenzio waliosoma kwamba tumesoma,utakua chizi,kuhusu uchumi ni jambo la mtu kujikwamua ata kama nchi yenu Ni tajiri vipi kama huna kazi ya kukuingizia kipato wewe ni hovyo tu,cha muhimu ni watu kujitambua na kufanya kazi kwa bidii tofauti na hapo hakuna jipya
Sasa life expectancy ni jambo la kushabikia? eti "tumewashinda kwa life expectancy"... do you know how you sound?..wewe ni small-minded sana...una sound kama mtoto akiringia mtoto mwenzake.....unataka kuishi miaka 100 sio? ishini miaka 100 basi sisi hatutaki kuishi miaka hiyo ambayo mtu mzima huwa anabadilika na kuwa mtoto mdogo...hana meno,..anafungwa napi etc..good luckUnavyobubujikwa povu looh
Tumewazidi life expectancy hiyo ndio mada hapa.....mengine anzisha mada yako.
Na mnavyoringaga ooh elimu yenu vs elimu yetu......kumbe ola mamburula tu hamna lolote. Kwenye vigezo vya human development tuko jino kwa jino!
Sasa hivi kitaeleweka.....watch it!
USIPANIK UNADHANI TZ HAIWEZI KUISHINDA KENYA?Sielewi unachochekea chekea, mada kama hizi uwe unawatafsiria wale ndugu zako wa mada za Alshabaab na Kibera, maana hapa wanapita kimya hawajui kipi cha kushabikia.
Tumewashinda nyie kwenye viashirio vya HDI vikiwemo afya, elimu na kipato cha kila mmoja. Hata GNI ni miujiza kwetu kuwa hapo ukizingatia nchi yetu yenyewe nusu kame tupu. Nyie hapo nchi kubwa yenye rotuba kila shemu, madini mengi, halafu ni muungano wa nchi mbili zenye vivutio bora vya utalii na kila kitu, leo hii unakenua meno eti nusra muishinde Kenya.
tz ipi hiyo? usidhani sisi wapumbavu...tanzani ikaipita kenya basi hata India itaipita MarekaniUSIPANIK UNADHANI TZ HAIWEZI KUISHINDA KENYA?
Wewe hata sibishani nawe.Sasa life expectancy ni jambo la kushabikia? eti "tumewashinda kwa life expectancy"... do you know how you sound?..wewe ni small-minded sana...una sound kama mtoto akiringia mtoto mwenzake.....unataka kuishi miaka 100 sio? ishini miaka 100 basi sisi hatutaki kuishi miaka hiyo ambayo mtu mzima huwa anabadilika na kuwa mtoto mdogo...hana meno,..anafungwa napi etc..good luck
TATIZO LENU WA KENYA MMEJAWA NA DHARAU NA KUJISIFU KULIKO PITILIZA HATA UK ILIKUWA SUPER POWER LAKINI LEO HII IKO WAPI? ACHENI KUJIPATIA SIFA ZA KIJINGA WAIT AND SEE...... GOD IS WITH UStz ipi hiyo? usidhani sisi wapumbavu...tanzani ikaipita kenya basi hata India itaipita Marekani
TATIZO LENU WA KENYA MMEJAWA NA DHARAU NA KUJISIFU KULIKO PITILIZA HATA UK ILIKUWA SUPER POWER LAKINI LEO HII IKO WAPI? ACHENI KUJIPATIA SIFA ZA KIJINGA WAIT AND SEE...... GOD IS WITH US
Hahahaa.....mngekuwa wachapakazi na watu wa kujituma mngekuwa hapo mlipo?Tunajisifu kwa ajili ya utenda kazi wetu na kujituma, tungekua kama nyie kwa nchi yetu ilivyo kavu hata Burundi wangetushinda. Mambo kama life expectancy kwanza at birth lazima Kenya isifanye vizuri maana kuna maeneo ukienda ndani ya nchi yetu ni kame na jangwa tupu. Japo tunawashinda kwenye cohorts zingine.
Leo hii na hiyo nchi yenu yenye amani na rouba kila sehemu na kila kitu mlifaa kuwa mumetuacha mbali, ilhali tofauti ni nukta tu, hamna kitu.
nyie mko wapi...mpumbavu mkubwa wee...nchi kavu imeendelea kuliko nchi yenye Diamond mineral, na mvua tele...wavivu kupindukiaHahahaa.....mngekuwa wachapakazi na watu wa kujituma mngekuwa hapo mlipo?
Hahahaahaaa.... Hicho ulichoandika hapo ni kichekesho cha mwaka!
Nyie ngozi nyeusi wa Kenya hohe hahe tu hamna lolote.... Uingereza kupitia colonial ties ndo inawaweka juu
ndio inachangiwa na mabo hayo sijakataa ila hamna la kushabikia hapo...jipeni sifa wakati mnajenga reli...hilo ni jambo la msingi...sio kutuletea upuuzi huu apa...Wewe hata sibishani nawe.
Fahamu tu kwamba life expectancy ina maana kubwa sana kwani huchangiwa na mambo mengi kwenye jamii kama lishe bora, huduma za afya, ulinzi na usalama, amani na kadhalika
In fact mngefaa kuwa mbaaali sana kutushinda. Mko na kila kitu kushinda hata waSA! Lakini wapi? Haka kaKenya kanaendelea tu kupaa waliko Tz!USIPANIK UNADHANI TZ HAIWEZI KUISHINDA KENYA?
Hata HDI mmezidiwa na Congo na Zambia na Bangladesh.. Hehehe. Kenya is Just as poor as Tz. Tena bora sisi tupo na standards.. The gap btn poor and rich is small and is narrowing day to day.Tunajisifu kwa ajili ya utenda kazi wetu na kujituma, tungekua kama nyie kwa nchi yetu ilivyo kavu hata Burundi wangetushinda. Mambo kama life expectancy kwanza at birth lazima Kenya isifanye vizuri maana kuna maeneo ukienda ndani ya nchi yetu ni kame na jangwa tupu. Japo tunawashinda kwenye cohorts zingine.
Leo hii na hiyo nchi yenu yenye amani na rouba kila sehemu na kila kitu mlifaa kuwa mumetuacha mbali, ilhali tofauti ni nukta tu, hamna kitu.
Nikisomaga comments kama hizi ndio nathibitisha uwezo wenu mdogo wa kudadavua mambo. Ndio maana mnatembea na mbolea kwenye makalio yenu na Magovi.Tunajisifu kwa ajili ya utenda kazi wetu na kujituma, tungekua kama nyie kwa nchi yetu ilivyo kavu hata Burundi wangetushinda. Mambo kama life expectancy kwanza at birth lazima Kenya isifanye vizuri maana kuna maeneo ukienda ndani ya nchi yetu ni kame na jangwa tupu. Japo tunawashinda kwenye cohorts zingine.
Leo hii na hiyo nchi yenu yenye amani na rouba kila sehemu na kila kitu mlifaa kuwa mumetuacha mbali, ilhali tofauti ni nukta tu, hamna kitu.