We mpuuzi hiyo barabara ya Tanga Horohoro imejengwa na American company ni moja kati ya best roads in Africa, Acha ufala.Barabara ya kutoka lungalunga hadi Mombasa inafanyiwa upgrading ujenzi tiyari umeanza , kutoka lungalunga hadi ukunda si nzuri vile lakini kutokea ukunda hadi Mombasa ipo Sawa,Ile ya kwenu kutoka tanga Hadi horohoro haina potholes lakini quality yake ni poor.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hawa jamaa sijui kwann wakora hiviAcha upumbavu hii barabara sio ya Kenya
Report zenu za miaka 7 iliopita hazitawasaidiaThen you must be an even bigger failed state
The classified road network financed by the Roads Fund is about 87,581 km where only 8.7 percent equivalent to 7,611 Km is paved and 91.3 percent are unpaved and therefore susceptible to heavy rain.
Roads quality Index,Report zenu za miaka 7 iliopita hazitawasaidia
Haha kumbe ndio maana wanapiga debe na Za mijini tu maana uko ushago ni full changarawe
Big different story now budabossThen you must be an even bigger failed state
The classified road network financed by the Roads Fund is about 87,581 km where only 8.7 percent equivalent to 7,611 Km is paved and 91.3 percent are unpaved and therefore susceptible to heavy rain.
Sema kama unataka uraia wa bongo.kujifanya mtanzania wakati kuandika kiswahili chenyewe shida ni uzwazwa.My brother in reality Kenya is more developed than Tanzania,we can't show our roads because tutakuwa tunajidharirisha wenyewe,but we know swahili more than Kenyan,Also we talk more for nothing
Year rightBig different story now budaboss
Hii ya Kenya pia ipo Kijijini. Mbona ina road markings?
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji16]Kwani unapoiba picha husomi kwanza ? Au Kuna eneo linaitwa hivyo kenya? Au Ndio wale wapiga chabo hadi jina la uliyepiga chabo 🤣🤣🤣🤣
View attachment 1098541
Madai yake hapo ni villa Kenya hahaha kamata mwiziKwani unapoiba picha husomi kwanza ? Au Kuna eneo linaitwa hivyo kenya? Au Ndio wale wapiga chabo hadi jina la uliyepiga chabo 🤣🤣🤣🤣
View attachment 1098541
Huna picha tofauti na Kericho?