Tanzanians, show us your roads

Hiyo ni keep left ya kawaida hakuna cha ajabu zaidi ya mzunguko wa kipumbavu na hicho kikalavat
Remember hiyo " keep left ya kawaida " haiko Tanzania. Don't forget that. Alafu iko uko interior.
 
Halafu nyumba ndio wanajengea tofali za mawe[emoji23][emoji23][emoji23].

Yaani nyangau akili zake zinamfaa mwenyewe kwakweli.
Em nipe maelezo hii ni nyumba au barabara? Kenya barabara zinajengwa na vitofali vya kuchoma badala ya pillars, hizi ndio flyovers? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1099605
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…