Tanzanians, show us your roads

Mna bara bara nyingi nzuri but ni za urefu kidogo. Of all those, ni bara bara gani ina urefu zaidi ya Km 100? Hizo bara bara zote ulizozitaja hapo, you can add them na kupata bara bara moja tu ya kutoka Dodoma hadi Babati... Tukawa tumefunga thread...

 
Tanzania ni kubwa kuliko nchi yao alafu Tanzania huduma bora ziko kila sehemu kuliko kwao [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Inatosha....sisi tupo busy tunanunua ndege kwa cash money.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…