Tanzania's 100 most influential people

I think people need to understand the meaning of influential in this context. I cannot accept sijui ze utamu. How are they influential to the whole or large portion of Tanzanians? It can be negative or positive impact but it has to be substantial. Mtamtaja vipi Wema Sepetu na Papaa Msofe? How on earth do they command enough influence over the lives za watanzania unless hii list ni the most influential people in Kinondoni ?
 

Swadakta, nimekupata uzuri, kanyaga twende!
 
Na shetani pia ndugu yangu...Ama umeshasahau mbinde mbinde za albino na waganga wa kienyeji? Vipi kuhusu unga unga wa bungeni?


Jamani,
Tusiharibu mtiririko wa mada.... tuwataje "watanzania tunaowaona" na siyo wasioonekana!
 
Influence What?
Criteria gani ya ku-gauge?

100 wa kwanza kwenda jela!
100 wa kwanza kuwa Mashujaa!
100 wa Kwanza kuwa Mawaziri!
100 wa Kwanza kuwa Madiwani
100 wa Kwanza kuwa Mafisadi!
100 wa Kwanza Kuwa Makatibu!
100 wa kwanza kuwa Mahabusu!
100 wa kwanza kijiunga na Chama Chinacho Mtawala mhh hii sio......
100 wa kwanza kuzungumza Lugha ya Kiswahili!
100 wa kwanza kutengeneza Barabara(zote tu; zenye mashimo,viraka, udongo mhh hapa sio...

100 wa kwanza kuwekwa kwenye rekodi kuwa wamezaliwa/na Kufa Tanzania(sio Tanganyika)R.I.P

100, mia moja, hii list ni ndefu kweli- tuseme ifike mia-moja halafu tuchukue kila mmoja kwenye hao wa Kwanza mia moja- tutapata= Tanzania's 100 most influential people!

Vinginevyo hao wote watakaotajwa ni list tunayo ona humu kila kukicha Rostam, Sijui Rostam, Dowans, wengine mnawajua! 100 most Influenza afflicted people!

c,mon

lakini hii iko poa
 
Marcio Maximo
Regnald Mengi
Asha Rose Migiro
Juma Nature
The late-Prof Chachage
Prof Mwesiga Baregu
Prof Issa Shivji
Prof Haroub Othman
Mohamed Dewji
Dr Wilbroad Slaa
 
Marcio Maximo
Regnald Mengi
Asha Rose Migiro
Juma Nature
The late-Prof Chachage
Prof Mwesiga Baregu
Prof Issa Shivji
Prof Haroub Othman
Mohamed Dewji
Dr Wilbroad Slaa

Tell us why Juma Nature should be in this category Mkuu.
 
Bubu ataka kusema

tafadhari wapigwe TUITION wachangia ili wajue INFLUENTIALS' wamaanisha nini... Naona ni Vituko kwa kwenda mbele kwenye michango ya wengi
 
jamani kama 100 hawafiki
hata hao wawili wanatosha

sio lazima wafike hata 5,
mimi naono ungesema wa 5 ingekuwa hafadhali, maana yake 100 ni wengi sana hatuwezi kufikisha.
binafsi
1. dr slaa
2. mengi

hajauliza watu maarufu ila wenye msukumo kwa jamii.
sasa wewe iliyemuweka marehemu sijui unamaanisha anafanya kazi akiwa uko kaburini au vipi
 
Tell us why Juma Nature should be in this category Mkuu.

Unataka influential wote wawe politician,huyo jamaa kwa wapenzi wa muziki wa vijana wanamfahamu hata JK alimtumia sana kwenye kampeni kuwadanganya watz
 

Una uhakika gani Mengi kapata pesa ki halali? aau hujui kuwa ni mchaga yule. Ooooopsss!
 
Dr. Shein huyu makamu wa rais
 
bila kuweka vigezo hapa tutaenda mwaka mzima bila kupata list hiyo ya watu mia, hata huko marekani kuna watu ambao ni maarufu sana lakini ktk list ya watu 100 hawamo?
tuweke vigezo
mi nadhani kama ya kuanza kuwataja hao influential tuanze kwanza kwa kuweka vigezo vikitimia ndo tuangalie ni kina nani watafiti kwenye hivyo vigezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…