Kinyambiss
JF-Expert Member
- Dec 2, 2007
- 1,374
- 73
Bila samahani Mkuu, Kama unavyoona watu wengine wanaelewa na nimetoa mifano rahisi kabisa inayoeleweka kwamba watu influential kwenye jamii wanaweza kutokea katika nyanja mbali mbali zikiwemo siasa, elimu, michezo, dini, burudani n.k. Sasa ni kipi ambacho hukukielewa katika ufafanuzi wangu!? Kama unaona ufafanuzi wangu una walakini kuhusiana thread hii basi anzisha nyingine ambayo utaweka katika namna ambavyo unataka wewe na bado watu tutachangia ndiyo uzuri wa JF. Hapana, mimi kama binadamu siko perfect na huwa nakubali makosa na kukosolewa pia hata hapa ukumbini nimeshawahi kuwaomba samahani watu wengi tu niliowakosea tena hadharani lakini kwenye hii thread sioni kama kuna matatizo yoyote.
Na shetani pia ndugu yangu...Ama umeshasahau mbinde mbinde za albino na waganga wa kienyeji? Vipi kuhusu unga unga wa bungeni?
Marcio Maximo
Regnald Mengi
Asha Rose Migiro
Juma Nature
The late-Prof Chachage
Prof Mwesiga Baregu
Prof Issa Shivji
Prof Haroub Othman
Mohamed Dewji
Dr Wilbroad Slaa
Tell us why Juma Nature should be in this category Mkuu.
Swali zuri sana, WoS. Wanaweza kabisa kuwa na vijisenti, lakini walivyovipata kihalali kama Mengi, siyo kama akina Mkapa, Chenge, Rostam, Mramba n.k. Wanaweza pia kuwa wanasiasa, maprofessor, wafanyabiashara na hata wanamichezo pia lakini nyendo zao kimaisha zinakubalika na walio wengi katika jamii ya Watanzania. Kuna huyu jamaa anayeitwa John Mashaka naye anastahili kabisa kuwemo kwenye list hiyo. Wanaweza pia kuwa wanaishi Tanzania au nje ya Tanzania.