Tanzania's avocados go from zero to Sh28bn-a-year crop, RwandAir secures deal to transport fish from Tanzania to Belgium

1. Air Tanzania haina ndege ya mizigo 2. Haina route za ulaya. Ufikiri kwanza kabla ya kuandika upupu wako

Ndege ya abiria ni ndege ya mizigo essentially!

Ndege ya mizigo sio ya abiria essentially!

Hili unajua

ATC wana landing rights Gatwick Airport United Kingdom

Since wamepata constant mzigo,ni wao kukaguliwa na kuanza kulipia deni wanalodaiwa na trips zinaanza next day!

Umeacha umempa Kagame kukombia deni wakati uwe mzima au umekufa ni lazima deni ulipe na mandege umepaki chini huku yanaoza!

Yaani akili ni matope kabisa!

Lini utafanikiwa?
 
Hata hiyo daladala kutoka kwao kwenda Kariakoo lazima ipate kibali cha LATRA au anadhani ni kujiendea endea tu mradi uwe na ndege!?
 
Huwezi kutembea kabla ya kutambaa. Air Tanzania bado haina ndege za kutosha kuanza safari za UK. Kwa mujibu wa taarifa za awali safari za China na Singapore kama sikosei ndio zitakuwa za kwanza kabla ya kutua kwa Malkia.

Vile vile kuna ndege mpya ambazo zinasubiriwa, kuweni na subira tu JPM alishajitambua kabla hajawa Rais. Huko tunakokwenda njia ni nyeupe sana. Hii Covid-19 imechelewesha mambo mengi sana mojawapo ni safari za China.

Hivi sasa tungekuwa tayari tunaangalia UK route (London/Gatwick) itatupa faida sana kwa sababu wasafiri wengi wanapata taabu kuunganisha Schiphol, Dubai, Uturuki etc. Hiyo inaongeza gharama ambazo zinamkamua msafiri. Vile vile hiyo route inakuwa na masaa mengi ambayo inachosha. (mfano direct flight from Julius Nyerere International to Hearthrow/Gatwick ni 8 hrs wakati ukiunganisha tegemea at least 15 - 20 hrs or more. Bila kusahau unfriendly hours za kutua/kuondoka Dar.
 
Usipende kulialia kama dent wa form 1C kabla ya kujua sababu.. ATCL haina kibali cha kutua nchi yeyote Europe hivyo haiwezi kwenda huko, inafuatilia hivyo vibali hivi sasa.
Pia Rwandair tayari ina stake kubwa ya usafiri wa watu na mizigo kwenye route hizo hivyo wanakuwa na more competitive advantage ikilinganishwa na Air Tanzania. Ni more economical kutumia ndege za shirika jingine kuliko kulazimisha la kwetu kupeleka mzigo midogo midogo bila hata ya kuwa na requisite base. Mdogo mdogo tutafika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…