Calm your titties. Drawing the pink line is temporary.
We are finalizing on BRT designs right now, and every new road in Nairobi will come with a BRT lane.
Our phase one will be bigger than all your phases combined.
View attachment 1015821View attachment 1015822View attachment 1015823View attachment 1015824
Ata ukitaja neno companies haiondoi ukweli kuwa ni biashara ya matatu, ambayo hayana tija kama BRT. Dar pia kuna ma bus mengine zaidi ya BRT, na usi compare Dar na Nai kwenye public transport ni ardhi na mbingu. Bus za kawaida za Dar zina bus stops zilizokua civilised ambazo Nai hamna, angalia mfano wa vituo vichache. Kwenye hili Nai mkasome upyaUnafaa ujue kwamba hata bila BRT, Nairobi iko na many organized private bus companies.
Citi Hoppa, Kenya Mpya, Umoinner, Citi Metro nk.. Zote hizi zina mamia ya mabasi.
Kinachokosa ni infrastructure ya kuyapitisha eneo lao la kando.
Kila siku, haya mabasi yanabeba abiria zaidi ya milioni tano.
Sasa, hiyo laki mbili ya BRT yenu utalinganisha aje?
Long way to go.
Capacity of 200,000 people a day is nothing to brag about.
Citi hoppa alone probably carries more than that.
[emoji13][emoji13][emoji13]hivi huwa mnakunywa pombe hamjala???
Ukisikia BRT basi unadhani dar nzima usafiri wa uma ni hizo BRT za watu 200k pekee!!!
Ukileta huo ujinga wa matatu,tunaweka sahani moja na kitu zinaitwa daladal,utajua hujui mzee baba.unajua daladala zinabeba watu wa ngapi kwa siku[emoji1552]♂️[emoji1552]♂️[emoji1552]♂️.ukisikia waweza lia.
Bado hatujaweka city train.kuna route tatu kila moja inakwenda mara tatu na kurudi ikiwa imejaa sana.
Ata ukitaja neno companies haiondoi ukweli kuwa ni biashara ya matatu, ambayo hayana tija kama BRT. Dar pia kuna ma bus mengine zaidi ya BRT, na usi compare Dar na Nai kwenye public transport ni ardhi na mbingu. Bus za kawaida za Dar zina bus stops zilizokua civilised ambazo Nai hamna, angalia mfano wa vituo vichache. Kwenye hili Nai mkasome upyaView attachment 1016224View attachment 1016225View attachment 1016226View attachment 1016228View attachment 1016231
Sent using Jamii Forums mobile app
Jifunze kuelewa.
Until your BRT starts carrying at least 2 million people a day, it is not worth talking about.
Unaongea ki maskini jeuri, unamwambia mtu asiongee kwa kua ana millioni 500, asubiri mpaka atakapo make 1b wakati wewe una cent moja mfukoni na madeni kibao!We're talking of subways and light railways, na wewe unaongea kuhusu bus stops?
aanLondon hawana BRT ila wana bus lanes lakini sio continuous
Jifunze kuelewa.
Until your BRT starts carrying at least 2 million people a day, it is not worth talking about.
Unaongea ki maskini jeuri, unamwambia mtu asiongee kwa kua ana millioni 500, asubiri mpaka atakapo make 1b wakati wewe una cent moja mfukoni na madeni kibao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbagala nyomi kubwa ni zaidi ya 200,000. kipande kile kinaeza kuwa na zaidi ya wakazi wa NaiWakenya wapuuzi kweli. BRT inatengeneza pesa asikwambie mtu.
Nauli ni sh. 650 kwa kila abiria.
Wastani wa wanaosafiri na Dart ni 200,000 kwa siku. Inamaana kwa siku total ni 130,000,000
Kwa mwezi ni ni Tsh 3.9b
Nisawa na $1.7m
Sasa hebu fanya kwa 12 months
$20.4m
For three years $61.2m
Hivi manyang'au mnaelewa lakini business!?
Ikikamilika ya mbagala. Let say ikachukua the same passengers 200,000 per day that mean in one year $40.8m per year.
Hebu tuende sasa.
You mean that mbagala slum is more populous than nai? 😩Mbagala nyomi kubwa ni zaidi ya 200,000. kipande kile kinaeza kuwa na zaidi ya wakazi wa Nai
Sent using Jamii Forums mobile app
Key word; Kipande kileYou mean that mbagala slum is more populous than nai? [emoji30]
You mean that mbagala slum is more populous than nai? [emoji30]
Wakenya wapuuzi kweli. BRT inatengeneza pesa asikwambie mtu.
Nauli ni sh. 650 kwa kila abiria.
Wastani wa wanaosafiri na Dart ni 200,000 kwa siku. Inamaana kwa siku total ni 130,000,000
Kwa mwezi ni ni Tsh 3.9b
Nisawa na $1.7m
Sasa hebu fanya kwa 12 months
$20.4m
For three years $61.2m
Hivi manyang'au mnaelewa lakini business!?
Ikikamilika ya mbagala. Let say ikachukua the same passengers 200,000 per day that mean in one year $40.8m per year.
Hebu tuende sasa.
Sasa wewe ndio kilaza BRT imechukua route ambayo haizidi 5% ya city routes.
Na unataka ibebe watu 2mil???hiyo ya nairobi kenya uliyoitaja hujasema inamiliki nganya ngapi??Na ina route ngapi hapo nairobi,niko shure ina hold more than 50% ya matatu yote.
Unaongea ki maskini jeuri, unamwambia mtu asiongee kwa kua ana millioni 500, asubiri mpaka atakapo make 1b wakati wewe una cent moja mfukoni na madeni kibao!
Sent using Jamii Forums mobile app
BRT Tz hipo miaka zaidi ya mitatu, nyinyi ndiyo mnaiota sasa hivi. Kama Tz nikupumzika then Kenya ni kufa kabisa.In Kenya we dream big.
Sitakulaumu. Najua Tanzania ni kupumzika tu.
Hahaha!! Sadolini au kiboko?Sisi tumetumia mabilioni kwenye hiyo project kuandaa barabara tu, wenzetu nairobi imewagharimu kopo la rangi na kamba ya kunyooshea mstari
Tafadhali naomba utofautishe kati ya Millioni 5 na elfu 5, Kibera yote ni 2.5M.Unafaa ujue kwamba hata bila BRT, Nairobi iko na many organized private bus companies.
Citi Hoppa, Kenya Mpya, Umoinner, Citi Metro nk.. Zote hizi zina mamia ya mabasi.
Kinachokosa ni infrastructure ya kuyapitisha eneo lao la kando.
Kila siku, haya mabasi yanabeba abiria zaidi ya milioni tano.
Sasa, hiyo laki mbili ya BRT yenu utalinganisha aje?