Hypershulemia
JF-Expert Member
- May 19, 2021
- 275
- 841
Wakifa kama Inzi wasije Kumlaumu Mtu.GENTAMYCINE mkuu hapa unalipi la kuchangia ?
dah! Ila we mzeeWakifa kama Inzi wasije Kumlaumu Mtu.
Akili hamna humo anakokudis ndiko anakopatia ugali.Kamwe hata Kwa greda hawezi kwenda huko anakokusifia Kila siku.dah! Ila we mzee
hamia tu rwanda
Mkuu inamaana yale madoso na kubeba mistimu usikukucha hayatotusaidia kitu huko?Wakifa kama Inzi wasije Kumlaumu Mtu.
anazeeka vibayaAkili hamna humo anakokudis ndiko anakopatia ugali.Kamwe hata Kwa greda hawezi kwenda huko anakokusifia Kila siku.
Libya mzozo wa kidunia kuliko hata unavyofikiria wewe.afrika na unafiki tungeanza kuisaidia somalia na libya kwanza .hapo congo kitega uchumi cha dunia
Hujamsikia kashaanza kuzoza mi nilijua kuna Jambo. Alisema wanaozunguka kuomba ombaNasubir kagame ajichanganye.
Kikwete ,aliwamudu hao wahuni kwamadiliko ya kanuni chapter 6Safi JWTZ wafyekeni hao mbwa wa M 23
It's Tanzania People's Defence Force (TPDF)Tanzania's defense force (TPDF) has deployed battalions to Goma as part of the SAMI (SADC Mission) to restore peace in the eastern DRC. Tz didn't join Uganda and Kenya under EACRF, a mission that failed to live up to its mandate. TPDF has a remarkable track record in foreign military operations.
In 2013 👇, TPDF deployed in eastn DRC with a similar mandate under UN FIB to handle the M23. The M23 were brutally dealt with, and they fled into hiding in Rwanda and Uganda and remained dormant for ~10 years. Will TPDF and SAMI, comrades, deliver a similar outcome? Only time will tell.