Tanzania's 'dictator' president threatening national unity: Catholic bishops

Unless the new constitution that will trim the presidential powers and give more powers to the democratic institutions is put in place, the alleged suppression of the civil liberties in this country will continue to persist.

If yu are crying for a new Constitution like that of our neighbor which can allow 2 presidents in office at Magogoni in one time. I think we need not it
 
...Sasa hivi hamtusumbui,kwisha habari yenu.Tunawatambua tu hata kwa maandishi yenu!!..asshole
 
Soma nyuzi humu ufisadi wa kutisha awamu hii kuliko awamu zote, kumbe lengo la udikteta ni kuficha wizi unaofanyika usijulikane, tumeishastuka
Hivyo ndivyo ilivyo siku zote.
Kama vile mwalimu asiyefahamu kufundisha anavyokuwa mkali ili wanafunzi waogope hata kuuliza swali au kusema hawajaelewa.
 
Hapa kazi tu naona Mheshimiwa Rais kawashika sehemu mbaya....

Mr President keep an axe to the the grind as usual...
 
Hivyo ndivyo ilivyo siku zote.
Kama vile mwalimu asiyefahamu kufundisha anavyokuwa mkali ili wanafunzi waogope hata kuuliza swali au kusema hawajaelewa.
Hata nyumbani ukimuona mzazi ni mkali ujue ana maovu mengi sana anayafichia kwenye ukali ili aogopwe,MTU yeyeto mkali huwa ana shida ya kisaikolojia anakuwa hajui japo udhani anajua, anakua ni muoga na ajiamini hivo ukali kwake ni silaha ya kukuweka mbali usijue madhaifu yake,ila ni watu wa kuwaonea huruma uteseka sana kisaikolojia,maana upwaya kwenye nyanja nyingi.
 
Wanena vema!
 
Umeandika kingleza ili usilipe mil59
 
Kuna mijitu humu jf imetumwa kazi yao kusoma kila uzi na kuuponda haraka iwapo unagusa au kupinga serikali. Huu ni uzwazwa na matumizi mabaya ya rasilimali watu na fedha za umma.
 
Nime Like "Kidhungu"chako mkuu!!
 
Magufuli alisema amesikitika na kukasirika sana jinsi Tanzania Daima lilivyofukuza wawekezaji kwa kuandika Watanzania wote tuna ukimwi by and large.

Sasa, ni bad press ipi mbaya zaidi na inayosomwa dunia nzima, story ya Tanzania Daima au Agency French Press?

AFP sio gazeti au TV station moja ya nchi fulani, AFP ni kama Associated Press au Reuters, habari zao zinauzwa na kusambazwa kwenye vyombo dunia nzima, hii habari itasomwa dunia nzima, na kama JPM kweli anajali madhara ya bad press angekuwa yeye mwenyewe hafanyi mambo yanayoipaka matope Tanzania, kama kupoteza watu, kuwatupa baharini na kuchochea wawapige risasi "wasaliti" mchana nje ya bunge. Mzee huyu ni faker, ana hasira za uongo, alivyoongea kwa uchungu kuhusu Tanzania Daima ungedhani anajaaaali bad press kwa international observers, mwongo mtupu!
 
Only foolish people dare to influence a good Tanzanian Citizens to go for public gathering, demonstration, marches, debates e.t.c. in the name of 'National Unit' in stead of to work hard for the development themselves and our National
 
Only foolish people dare to influence a good Tanzanian Citizens to go for public gathering, demonstration, marches, debates e.t.c. in the name of 'National Unit' in stead of to work hard for the development themselves and our National
kinyesi katika ubora wake wa hali ya juu!!! it's like being led blindfolded. hatuwezi kukubali kuwa ng'ombe
 
Tusipoangalia hata vyombo vya dini vitatumiwa na mwovu kuzuia marekebisho yoyote ndani ya Tanzania.
Wala rushwa wengi wamekuwa watoto wapenzi wa baadhi ya haya makanisa. Na hakuna anayekemea rushwa hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…