Tanzania's Hottest couples

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752
They're affluent,classy,stylish and exposed. They run Dar and outside...
They got the money,the means and the power. Meet Tanzania's power couples




Lance and Mange

Maliq and Kiki

Joyce and Mitgaard

Miriam Odemba and

Emelda and Baraka

Mjuni and Hilda Ringo
 
wote siwafahamu wala sijawahi kuwasikia,.......
 
C lolote, kwa vigezo gan wao wamekuwa the bests na standard.... Sis kwetu ni upuuzi
 
Umewasahau Jide na Gadna kama namba moja. Hao wengine mhhh
 
Hilda na Mujuni walishavunja uchumba, kama wamerudiana ni vizuri.
 
Hii mada imekaa kimange mange, peleka kwenye blogu ya mange
 
Sijajua vigezo vilivyotumika katika kuchagua hawa couples,kwa vilivyotajwa hapa kuna watu wanavyo tena wengi tu kushinda hao,anyway tunashukuru kwa kuwajua hawa maana wengine tunawaona wa kawaida tu na matatizo yao tunayajua ila hatukujua kama wako hivi.
 
Mjuni na Imelda mbona washabreak up, na Imelda keshaweka wazi hili suala? Sasa hivi yuko zake anasoma Nigeria
 
Mwanzilishi wa post anatafuta udaku tu......post haina mashiko. Kuna couples ngapi bongo anazozijua yeye hadi alete hizo tu? amefanya utafiti?
 

Hii umeitoa U-turn nini? Na it seems ni ya siku nyinngi, maana nasikia Hilda na Mujuni wameachana au haujatembelea mange's blog siku nyingi nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…