Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,636
- 6,178
Wakuu,anaitwa Luteni Ntwa,alikuwa officer in command wa F Coy na mp commander.Amefariki dunia kwa maradhi ya ini usiku wa kuamkia leo hospitali ya Ocean Road D`salaam.Waliokuwa kikosi cha jeshi 821 watakuwa wanamfahamu.May his soul rest in peace the wisest leutenant in the camp.