TANZIA: Aliyewahi kuwa Rais wa Chama Soka Zanzibar (ZFA), Ali Fereji Tamim afariki dunia

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Aliyewahi kuwa rais wa chama soka Zanzibar (ZFA) Ali Fereji Tamim amefariki dunia visiwani Zanzibar na maziko yanatarajiwa kufanyika leo alasiri visiwani humo.

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania TFF Wallace Karia ametuma salamu za rambirambi kwa famili, ndugu, jamaa, marafiki na ZFA kufuatia msiba huo.

Katika salamu hizo za rambirambi Rais Karia amemuelezea marehemu Tamim kuwa kama mmoja wa wanamichezo waliotoa mchango mkubwa katika mpira wa miguu hususani visiwani Zanzibar.
 
Apumzike kwa amani mzee wetu Ali Fereji Tamim..Tutakukumbuka.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…