Mmoja wa wasisi wa kundi la wasanii la wanaume halisi lenye masikani yake pale Temeke nyuma ya uwanja mpya wa taifa dar baraka masele aka BK amefariki dunia leo Muhimbili.
Bk alikua akisumbuliwa na maradhi ya tumbo.
roho ailaze mahali pema roho ya marehemu.
Habari zaidi zinafuata. mia