TANZIA:baraka masele amefariki dunia leo

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Mmoja wa wasisi wa kundi la wasanii la wanaume halisi lenye masikani yake pale Temeke nyuma ya uwanja mpya wa taifa dar baraka masele aka BK amefariki dunia leo Muhimbili.
Bk alikua akisumbuliwa na maradhi ya tumbo.
roho ailaze mahali pema roho ya marehemu.
Habari zaidi zinafuata. mia
 
Huyu jamaa ndio niliyependa michano yake kwenye nyimbo ya ndege tunduni wa TMK Wanaume halisi
 
Sintah afanye hima akampe pole mtoto wa mzee mwalubadu, aka nature!! Rip tangulia, siye tupo nyuma yako twaja!
 
RIP Msanii nilidhani ni Masele cha pombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…