TANZIA TANZIA: Getrude Rwakatare, Mbunge na Mchungaji wa Kanisa la TAG (Mlima wa Moto - Mikocheni B) nchini Tanzania, afariki dunia

Hivi kuna anayejua ratiba ya mazishi ya mama Rwakatare?
Mkuu zama zimebadilika ,under Corona issue stay at home ,social distancing. Kuna nchi kuna kiongoza mkubwa alifariki nadhani ni wa dini,watu wakakusanyika kibao,sasa serikali imeamua wanakijiji wote wawe locked down ili wapimwe door to door kujua kama hawajaambukizwa Corona.
 
Reactions: amu
Death is imminent. Soon or later somebody, no matter what their social status, must die.
 
Nimesikia mama amezikwa leo na serikali kimia kimia na hakuna muumini alieruhusiwa kuhudhuria.
 
Sasa nimekosea wapi kusema kuwa Mikocheni B Assemblies of God haiko chini ya TAG?

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani nawe umepita hapo..miaka ya 2000's ukiskika unasoma st Marys full maujiko...walikua wanapikiwa had sausage na mikate .dadek..!full ngeli za Kina Lilian Mwasha
Sijapita hapo sema nimewahi kwenda kwenye graduations mbili na alikuwa akisema wavulana na wasichana wa shule ya Santa Maria.
 
Aqua,
Tofauti yetu ni ndogo sana "historia" kuweka sawa rekodi ni jambo muhimu sana.
Kwa sasa mlima wa moto hawapo TAG Kwasababu walijiondoa.

Na hivi karibu kama miaka kadhaa iliyopita baada ya kujiingiza kwenye siasa alitaka kulirudisha kanisa TAG..kwa askofu mtokambali, aliambiwa kuwa kanuni ni zilezile una surrender hati makao makuu..ilimshinda kufanya hivyo.

Mimi siongei uvumi bali naongea kitu nikijuacho. Hivyo awalo alikuwa Tanzania Assemblies of God lakini alipojiondoa akaondoa neno/jina Tanzania na kubaki na Assemblies of God.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…