TANZIA: Hugh Masekela afariki dunia

TANZIA: Hugh Masekela afariki dunia

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
_99707457_masekela1_bbc.jpg

The lendary and only one trumpeter wa Afrika Kusini,Hugh Masekela amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 78.

Kwa vijana wa kileo itakuwa vigumu kumfahamu huyu gwiji wa jazz toka Sauzi.
Lakini kwa sisi vijana wa siku nyingi tutamkumbuka kwa vibao vyake vingi vya kupinga ubaguzi wa rangi hasa kibao "Stimela".

www.bbc.com/news/entertainment-arts-42786749
 
Mods, sikuiweka kwenye siasa hii sredi.
Lakini kwa kuisukumiza huku kusiko julikana ni kielelezo tosha cha uelewa wenu kwa huyu mtu mashuhuri.
 
Alikuwa huyu mzee pamoja na Emmanuel ndjoke (manu )dibango hivyo vifaa walikuwa wana vitendea haki leo hii vijana hawataki kabisa kusikia kuhusu khabari za midomo ya bata. Pumzika kwa amani masekela
 
Musicians Hugh Masekela and Miriam Makeba were considered the power couple of South African jazz during the 1960s.

42266992_404.jpg
 
Back
Top Bottom