Yanga mbali na kutokuwa na mafanikio msimu huu, tumeni mwakilishi ili akashiriki msiba kwa niaba ya team. Blantyre nauli ni tsh 120,000/= tu kwa basi la kawaida.
Jackson Chamangwana alikua akicheza center half na Sesten Zakazaka alikua libero(half back four) wakiwa na kina Dickson Mbetewa, Laurence Wire, Kina Phiri, Young Chimodzi na wengine katika timu ya taifa ya Malawi kwenye 1980s, R.I.P Jack Loyd Chamangwana