Aaaiiiiiyaaaaaaaaa!!!!!!
Daah, kunakipindi fulani Azam walijaribu kumfukuzia awe kocha wao baada ya kutimuliwa Kocha wao aliyepita.
So sad ktk jamii ya wapenda soka, Familia yake na Nchi yake kwa Ujumla.
Nwanko Kanu atalia sana juu ya kifo hiki. Maana kaanzisha Hospitali maalumu kwa Magonjwa ya Moyo hapo Nigeria na Rafiki, Mchezaji, kocha na Mwananchi mwenzake kafa kwa Ugonjwa huohuo, Inauma sana.
Raha ya Milele umpe ee Bwana, Na mwanga wa milele umwangazie, Apumzike kwa Amani.Amina
BACK TANGANYIKA