Na MOHAMMED MSOMALI, hatunae
RIP KOCHA WETU, TUTAKUPENDA SIKU ZOTETaarifa niliyosoma kutoka Mwanaspoti inasema kocha wa zamani wa simba Mzee James Siang'a amefariki usiku wa kuamkia leo tarehe 10/9/2016.
Huyu ndio kocha alifundisha simba kwa mafanikio makubwa
R.I.P Kocha Wetu