Mojawapo kati ya tabia zake zilizokuwa zikinifurahisha ni ile ya kutaja kikosi hadharani siku moja kabla ya mechi bila kujali anacheza na nani. Na timu karibu zote zilikuwa zinakaa vilevile.
R.I.P Siang`a....moja kati ya kocha wa kihistoria! ila kinachonisikitisha aliumwa lakini simba hawakumsaidia fedha za matibabu...team za kibongo ovyo kabisa