Tanzia: LiverpoolFC afiwa na mwanae


.........Maskini jamani, pole sana.
 
Pole sana mkuu kwa msiba ulowapata. Najua inauma sana tena maumivu yake hayaelezeki hasa kwa mama mtoto. Mungu azidi kuwatia nguvu na kuwapa faraja.
 
Pole sana mkuu kwa msiba ulowapata. Najua inauma sana tena maumivu yake hayaelezeki hasa kwa mama mtoto. Mungu azidi kuwatia nguvu na kuwapa faraja.

Nashukuru Ndg yangu!
 
pole sana livapuu na familia yako nzima kwa msiba uliowafika,
BWANA alitoa na BWANA ametwaa jina lake lihimidiwe...!!
BWANA MUNGU BABA wa mbinguni atawafuta machozi na kuwapa faraja yake iliyo kuu ipitayo faraja zote za wanadamu.
 





















Ndugu zangu wote wa hapa jamvini!!!! Sina mengi ya kusema katika hali yoyote ile iliyonikuta ila ni MUNGU pekee ndiyo awape nguvu ya kipekee na moyo huu uendelee kwa yoyote yule apatwaye na janga lolote kama hili:


Sina Mengi zaidi ila ntarudi after:


LiverpoolFC Member Arusha:




 
Pole sn, Inshaallah Mungu atawapa subra na muweze kukabiliana na hili. Na Inshaallah Mungu atawapa rizk nyengn.

Naamini madhal mlingoti umesimama, kupandisha bendera huwa si kazii.

Pole baba eenhee!!
 
Pole sana wanafamilia kwa kumpoteza mtoto wenu mpenzi. Mwenyezi mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu kwenu. Poleni sana
 
Pole sana Mkuu LiverpoolFC Maisha ndo iunabisd yasonge tena....Mungu atakujaali mwengine:sorry:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…