PRINCE PRIS
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 347
- 587
Kivipi mkuu
Na wote ni watu wa muhimu kwake, alisema mama yao aliwalea akiwa single parent. Watoto wamefiwa na baba hakuna hata aliyefikixha 18yrsKuna wakati ukisikia dunia nzito kwa kilo zisizojulikana basi ndio wakati kama huu anaoupitia Zari, hajamaliza machungu ya kufiwa na baba wa watoto wake anakutana na hili la kufiwa na mama yake mzazi. Pole sana Zarinah Hassan na familia yako kwa ujumla. Mwenyezi Mungu Mungu awape nguvu kuhimili haya mapito.
Du Bonge la Pigo kwa Zari.. Kaondokewa na Ivan Mpenzi wake wa Moyoni na Ameondokewa na Mama Mzazi Duu... Kwa kweli Mungu Amtie Nguvu sana huyu Mdada aisyekuwa na Makuu.. Ila Dimond has to Change sasa awe Mwanaume atoke kwenye Uvulana ili ajue jinsi ya Kuishi Kama Mwanaume na siyo Kuendelea Kuishi Kama Mvulana