UmetishaSo, sad. Niwakumbushe tu watanzania ukiona umepelekwa Mloganzila ama Mwananyamala andika kabisa urithi..
Kule madaktari waliosoma historia ya udaktari na sio udaktari..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wagonjwa wanaopelekwa Mloganzila wakipelekwa hospitali nyingine yeyote wangekufa pia, kama ni kupona wapo wanaona pona pia, sema wanaopelekwa huko hali zao huwa mbaya sanaSo, sad. Niwakumbushe tu watanzania ukiona umepelekwa Mloganzila ama Mwananyamala andika kabisa urithi..
Kule madaktari waliosoma historia ya udaktari na sio udaktari..
Sent using Jamii Forums mobile app