Tanzia: Msanii Cheka Hija Mzee maarufu 'Bibi Cheka' afariki dunia

Baada ya kuugua kwa muda mrefu, hatimaye Bibi Cheka ameimaliza Safari yake ya duniani.
Bibi Cheka alikuwa ni msanii wa muziki wa kufokafoka wa Bongo Flavor.
Mungu amlaze pema marehemu.
Daah..! RIP
 
Kina Babu Tale na Said Fella watajidai wanaenda msibani wakati walimtelekeza alupokuwa mgonjwa
 
Rest easy bibi.
Asante Mbushuu maana mimi siyo mpenzi wa nyimbo za kurapa ila hii ni mziki mzuri sana. Kumbe mama alikumo kwenye nyanja sauti yake nzuri kuliko hata akina diamond.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…