Km ulijua nimeandika ujinga ulirudiaje na ukaninukuu,inamaana ujinga wangu ni bora kuliko ufahamu wako,Nirudie kusoma ujinga wako ulioandika soma wewe , kuwatukana waafrika wenzio na kuwalamba wazungu , unawajua vizuri wazungu wewe au umewaona kny sinema.
PoleTena kwa taarifa yako ukiwasema vibaya waafrika wenzio mbele ya hao wazungu wako wanakudharaau kabisa ..
Nani kakwbia Black Americans wanajiita WAafrica.. Wewe unaekaa kwa mtogole unakuja na uongo... Kwa taarifa yako hakuna watu ambayo hawataki uwaambie ni waafrica kama black Americans. Ninawajua vilivyo.Tena kwa taarifa yako ukiwasema vibaya waafrika wenzio mbele ya hao wazungu wako wanakudharaau kabisa ..
Aliekuambia nimerudia kusoma nani ? Nimequote ulichosema , acha utoto na kukariri mambo , subiri ukue ndio uongee .Km ulijua nimeandika ujinga ulirudiaje na ukaninukuu,inamaana ujinga wangu ni bora kuliko ufahamu wako,
Mara nyingi akili km zako ni za kurithi,
Rudia tena kusoma usione soo itakusaidia na ww usirithishe mtu ujinga,
Maana unazalisha kisichoongelewa,
Unakurupuka kuparamia itakuwa kupara..wa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninajisikia sifa sana kukulia kwa mtogole , kuliko kulamba wazungu na kuwafulia mafi yao , mbona wanajiita ni ma diasphora wa huku afrika, hata hao blacks wapo wasiohitambua kama wewe pia. Huyo nae myweather si mshamba tu ana nini cha maana kwenye ubongo wake zaidi ya kusubiri wazungu wampe mshahara.Nani kakwabia Black Americans wanajiita WAafrica.. Wewe unaekaa kwa mtogole unakuja na uongo... Kwa taarifa yako hakuna watu ambayo hawataki uwaambie ni waafrica kama black Americans. Ninawajua vilivyo.
Huyu ni Mayweathe akisema yeye ni black america na sio African
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninajisikia furaha kua mtu mweusi kutoka Africa tena Tanzania.
Yani wewe unamuita Mayweather ana nini ??? Hahaha yani wewe fukara na masikini usiejua kesho yako unapata wapi ujasiri wa kumuita hivyo mayweather.Ninajisikia sifa sana kukulia kwa mtogole , kuliko kulamba wazungu na kuwafulia mafi yao , mbona wanajiita ni ma diasphora wa huku afrika, hata hao blacks wapo wasiohitambua kama wewe pia. Huyo nae myweather si mshamba tu ana nini cha maana kwenye ubongo wake zaidi ya kusubiri wazungu wampe mshahara.
Kua [emoji735]Ninajisikia furaha kua mtu mweusi kutoka Africa tena Tanzania.
Wewe ndio mshamba usiejijua , wewe unashindwa kujua kua hizo ni typing error , hata kama ni lofa, sijilambi kwa wazungu na utajiri wa mtu asiejitambua kua yeye ni nani ? Haunisumbui na ni zaidi ya ulofa , kitumbua wahead.Yani wewe unamuita Mayweather ana nini ??? Hahaha yani wewe fukara na masikini usiejua kesho yako unapata wapi ujasiri wa kumuita hivyo mayweather.
Kiswahili chenyewe hujui eti :
Wasiohitambua [emoji735]
Wasioitambua [emoji736]
Sasa kama lugha yako ya taifa ilunashindwa kuimudu utaweza kumudu kujibu hoja nzito unazotupiwa humu jamvini. Halafu mpaka hapa nimeshajua najibishana na kichwa maandazi "Watermelon Head " asiejielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninajitambua kuliko wewe uliesoma vichochoroni.
Na wengi hawawapendi waafrika.Nani kakwbia Black Americans wanajiita WAafrica.. Wewe unaekaa kwa mtogole unakuja na uongo... Kwa taarifa yako hakuna watu ambayo hawataki uwaambie ni waafrica kama black Americans. Ninawajua vilivyo.
Huyu ni Mayweathe akisema yeye ni black america na sio African
Sent using Jamii Forums mobile app
Point!Nani kakwbia Black Americans wanajiita WAafrica.. Wewe unaekaa kwa mtogole unakuja na uongo... Kwa taarifa yako hakuna watu ambayo hawataki uwaambie ni waafrica kama black Americans. Ninawajua vilivyo.
Huyu ni Mayweathe akisema yeye ni black america na sio African
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna unalojua wewe ndezi ...Ni ushamba unawa sumbua we black uchukie waafrika.ni ujinga.
Huyo Kenna anakurupuka sana,Nani kakwbia Black Americans wanajiita WAafrica.. Wewe unaekaa kwa mtogole unakuja na uongo... Kwa taarifa yako hakuna watu ambayo hawataki uwaambie ni waafrica kama black Americans. Ninawajua vilivyo.
Huyu ni Mayweathe akisema yeye ni black america na sio African
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeujuaje utoto km ww si mtoto,Aliekuambia nimerudia kusoma nani ? Nimequote ulichosema , acha utoto na kukariri mambo , subiri ukue ndio uongee .
Nani kasema hajiskiiNinajisikia furaha kua mtu mweusi kutoka Africa tena Tanzania.
Anza kuvaa ngozi acha kuvaa jeans,Wewe ndio mshamba usiejijua , wewe unashindwa kujua kua hizo ni typing error , hata kama ni lofa, sijilambi kwa wazungu na utajiri wa mtu asiejitambua kua yeye ni nani ? Haunisumbui na ni zaidi ya ulofa , kitumbua wahead.
VichochooniNinajitambua kuliko wewe uliesoma vichochoroni.