Tanzia: Msanii wa maigizo (Mr.Bomba) aliyetamba sana na maigizo ITV afariki dunia

msafwa93

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2011
Posts
4,786
Reaction score
5,963
Msanii alikua maarufu kwa maigizo mwanzoni mwa miaka ya 2000 anaefahamika kwa jina la MR.BOMBA afariki dunia..
Igizo alowahi kuigiza na kutamba vilivyo ni MAMBO HAYO..

R.I.P
 
sooo sad nilikuwa na mkubali sana huyu mzee. pole kwa familia yake na tasnia ya Maigizo.
Mungu amlaze anapo stahili.
 
RIP,namkumbuka huyu mzee vpindi vya ITV kipindi kile cha akina Swebe,lulu,mchopanga,Nyamayao,Muhogo mchungu,Nora aliwahi kuigiza kama baba yake,-vilvile alikuwa anaigiza kama headmaster!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Bwana ametoa na Bwana ametwaa,jina lake lihimidiwe
 
Na mimi namkumbuka. Presha mbaya sana jamani. Tujenge tabia ya kufanya mazoezi na kupunguza ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na chumvi.
 
namkumbuka sana alikuwa anaigiza kama boss pia mkuu wa jambazi. RIP
 
Duuuhh dunia mapito......mwalimu wangu makongo enzi hizo.RIP
 
Duuu! nimesikitika sana ivi ameumwa nini?alikuwa mwalimu wangu pale makongo na pia mwalimu mzuri sana wa Somo la Dini ( Divinity!)na pia kipenzi cha wanafunzi nikiwepo mimi mwenyewe akiongea na lile pozi lake!eeeh Mungu mpokee kiumbe wako! tena nasikia kuna kipindi aliwai kuanzisha na kanisa lake mara walimwengu wakamzushia eti nini nini nini nini sijui?inajua watu walishindwa kumuelewa hasa waumini wake huyu mzee mbali na kuwa mchungaji alikuwa pia anaendeleza sanaa za maigizo sasa ile hali ya kufanyia vikao baa ndo akazushiwa otherwise ukweli anaujua mwenyewe mana ya dUNIA NAYO MENGI...ILA I WILL BE MISSING MY TEACHER!
 

"binadamu huonekani mwema mpaka wema wayaseme mema"..ALLY KIBA-KIDELA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…