Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Poleni wafiwa,na kila anayehusika,muwe na moyo wa uvumilivu katika kipindi hiki kigumu.Msanii Mzee Mussajee Karimjee,aliyecheza movie ya Uwa La Matumaini(flower of hope),amefariki na kuzikwa leo Tanga.
Alicheza kwenye nafasi ya Ubunge,na baba wa mtoto wa kike aliyependana na mtoto wa kimaskini.
Tafuta CD ya UWA LA MATUMAINI,ilyotungwa na nguli wa Lugha ya Kiingereza katka fasihi,Kasim El siagi,aliyekuwa Mwalimu wa shule ya Popatlal Secondary School,miaka ya 80.Simjui