Umerusha tu bila kusoma ulichorusha au ndio unajua kusoma bali hujui kuelewa?!!!
Jisikitikie
Unaleta tabia za YouTube huku[emoji57] [emoji57]
Huyu ni binadamu,hilo halina ubishi
Utaifa/uraia wake tu ndo uhakika hatuna
wewe papuchi wa lumumba muda wa kulala umefika mmeo mtambuka anakisubirUmerusha tu bila kusoma ulichorusha au ndio unajua kusoma bali hujui kuelewa?!!!
Jisikitikie
Hivi cocochanel wewe ni mTanzania?
Don't be offended...nimekuwa curious muda kidogo japo sikufahamu
Mbaya zaidi hata utaifa wako haunihusu
wewe papuchi wa lumumba muda wa kulala umefika mmeo mtambuka anakisubir
AbnormalUnaleta tabia za YouTube huku[emoji57] [emoji57]
Nijisikitikie nimeomba kaz nimekosa kwako au unajiona hupo sahihi.?
Mimi ni mTanzania. Nimekugeza na kuandika mTanzania.. najifunza swahili.. kikabila changu kimenijaa.
Dah wewe kwenu kama sio Burundi sijui![emoji849][emoji849][emoji849]
Kama ulimuweka mkeo huko ndio unafikiri kila mutu pia..
Toka lini hujui kiswahili ewe mfuasi wa ccm?[emoji849][emoji849][emoji849]
Kama ulimuweka mkeo huko ndio unafikiri kila mutu pia..
Asante cocochanel nimekuelewa sana....kumbe ni kikabila,ndio maana kiswahili chako unaandika namna ya tofauti kidogo
Toka lini hujui kiswahili ewe mfuasi wa ccm?
Inatosha mwache alale salamaMufuasi wa JPM..
CCM ni chama tawala kikitenda mazuri sina budi kufurahia.. na sasa chini ya jembe la taifa.. upo or wataka dozi ingine?
Unatilia shaka uraia wake?Kwanini nini mkuu?