Tanzia: Msanii Ziggy Wine wa Uganda afariki dunia

wewe papuchi wa lumumba muda wa kulala umefika mmeo mtambuka anakusubiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukweli ni kwamba niliamua tu niwe naandika kihivyo humu JF. Yeah najua kilugha na kimombo na kifurenchi. Ila humu napenda swahili yangu hii hii natumia kuburudika.
Hahahaha naona ulimjibu kiaina flani aliekuuliza utaifa wako mwisho hapa umeamua kumjibu kwa heshima zote.
Achana kabisa na immigration. Waulize wenzako. Na humu humu kuna peoples za immigration zinakuola tu.
Zikikukosa kosa kwa issue za immigration zinakuambia umefua pesa zikatakata au hupaki mafuta umepauka USO.
 
Mufuasi wa JPM..
CCM ni chama tawala kikitenda mazuri sina budi kufurahia.. na sasa chini ya jembe la taifa.. upo or wataka dozi ingine?
Sema jembe lako wewe. Jembe la taifa my foot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…