Tanzia: Msiba wa aliyekuwa mkufunzi korogwe ttc na deo korogwe

gbrother

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
408
Reaction score
51
Nina majonzi makubwa sana kwa kupata taarifa za msiba wa baba yangu wa kazi, mzee wangu aliyenipokea kazini ktk halmashauri ya korogwe, mzee wangu alinipa misingi ya uwajibikaji kazini. Mzee wangu
#deo_kiwiya , pumzika kwa amani baba, umetangulia nasi tutakufuata:
R.i.p mzee wangu , nitakukumbuka daima milele
 
RIP Mr Kiwia,-------- Mrisho Gambo atakuwa amepata alichohitaji baada ya kumuweka ndan mzee wa watu
 

R.I.P Mzee #Kiwiya .. Mkuu gbrother Msiba uko wapi?
 
Last edited by a moderator:

mkuu upo kwake maeneo ya kama unapandisha kwenda mamba club, ila nadhani watamsafirisha kuja moshi huku maeneo ya mawela, mbele kidogo ya kcmc. Imeniuma sana kwa kweli, maana ni mtu ambaye alinisaidia kuniweka sawa kiakili kiasi kwamba mpaka sasa nipo kazini, ila nilishakata tamaa ya kazi kipindi nareport, Nitamkumbuka sana mzee wangu #KIWIYA
 
Last edited by a moderator:



mkuu upo kwake maeneo ya kama unapandisha kwenda mamba club, ila nadhani watamsafirisha kuja moshi huku maeneo ya mawela, mbele kidogo ya kcmc. Imeniuma sana kwa kweli, maana ni mtu ambaye alinisaidia kuniweka sawa kiakili kiasi kwamba mpaka sasa nipo kazini, ila nilishakata tamaa ya kazi kipindi nareport, Nitamkumbuka sana mzee wangu #KIWIYA
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…