LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
-Kupitia ukurasa wa Instagram wa Zamaradi mketema amethibitisha kuwa mtoto wa Munalove almaarufu kama patsmartboy amefariki dunia mda mfupi uliopita
-Ikumbukwe kuwa siku chache zilizopita kulizagaa habari mitandaoni kuwa amezidiwa na kulazwa katika hospitali iliyopo Nairobi Nchini Kenya
=====
Zamaradi Mketema amesema;
Kwasasa bado Mwili uko Nairobi (Kenya) na wameshaanza taratibu nyingine ili kufanikisha mwili kufika hapa nchini.
Na kama kila kitu kikikamilika mwili unatarajiwa kuletwa siku ya keshokutwa hapa DSM na ndio taratibu nyingine zitafata
Ila kwasasa makutano yatakuwa Mbezi Beach kwa Muna kwa wale ndugu jamaa na marafiki watakaotaka kujumuika na zaidi tu michango bado inahitajika sana sana ili kuweza kukamilisha taratibu zilizopo kama mnavyojua lazima kuna mambo ya hospitali yaliyokuwepo, taratibu za kusafirisha na mengineyo (namna ya kutuma nimetoa maelekezo kwenye post iliyopita ambayo itamfikia yeye mwenyewe)
Ushirikiano ni muhimu zaidi kwa kipindi hiki bila kusahau MAOMBI juu ya mwenzetu alieondokewa..
Kwa WOTE WALIOGUSWA na wanahitaji kuchangia chochote tafadhali SOMA MAELEKEZO HAPA CHINI KWA UMAKINI.
Account Number CRDB: 01j2096190100 jina ni ROSE ALPHONCE NUNGU
Na kwa wale ambao BANK itawawia vigumu unaweza kutumia SIMU YAKO YA MKONONI kuingiza kwenye account moja kwa moja kwa njia zifuatazo:
Kama unatumia TIGO PESA fata procedure hiyo chini
Kwa kutuma kutoka TigoPesa kuja kwenye account hii ya CRDB fanya kama ifuatavyo
1. Bonyeza *150*01#
2. Chagua 6 HUDUMA ZA KIFEDHA
3. Chagua 1 TIGO PESA kwenda BENKI
4. Chagua kwenye orodha ya mabenki namba moja (1) kwa maana maana ya CRDB
5. Chagua moja (1) kuingiza namba ya kumbukumbu
6. Weka namba ya kumbukumbu ya malipo (01j2096190100)
7. Weka kiasi
8. Ingiza namba ya siri kuhakiki
Na kama unatumia M-PESA fata procedure hiyo chini
Kwa kutuma kutoka M-pesa kuja kwny account hii ya CRDB fanya kama ifuatavyo
1. Bonyeza *150*00#
2. Chagua 4 kulipa kwa MPESA
3. Chagua 4 kuweka namba ya kampuni, weka namba ya kampuni (CRDB no. 900500)
4. Weka namba ya kumbukumbu (01j2096190100)
5. Weka kiasi
6. Weka namba yako ya siri ya Mpesa
7. Bonyeza 1 kuthibithisha
Jina ni ROSE ALPHONCE NUNGU
Na kama unataka namba tu ya kawaida ya simu tumia hii ya chini
0718814581 Rose Nungu
Asanteni sana kwa mioyo yenu.
NB: Rose Nungu ndio jina official la munalove100 hivyo chochote unachotuma kinaenda kwake moja kwa moja.
MUNGU AWABARIKI SANA!!
[HASHTAG]#kutoanimoyosiutajiri[/HASHTAG]
-Ikumbukwe kuwa siku chache zilizopita kulizagaa habari mitandaoni kuwa amezidiwa na kulazwa katika hospitali iliyopo Nairobi Nchini Kenya
=====
Zamaradi Mketema amesema;
Kwasasa bado Mwili uko Nairobi (Kenya) na wameshaanza taratibu nyingine ili kufanikisha mwili kufika hapa nchini.
Na kama kila kitu kikikamilika mwili unatarajiwa kuletwa siku ya keshokutwa hapa DSM na ndio taratibu nyingine zitafata
Ila kwasasa makutano yatakuwa Mbezi Beach kwa Muna kwa wale ndugu jamaa na marafiki watakaotaka kujumuika na zaidi tu michango bado inahitajika sana sana ili kuweza kukamilisha taratibu zilizopo kama mnavyojua lazima kuna mambo ya hospitali yaliyokuwepo, taratibu za kusafirisha na mengineyo (namna ya kutuma nimetoa maelekezo kwenye post iliyopita ambayo itamfikia yeye mwenyewe)
Ushirikiano ni muhimu zaidi kwa kipindi hiki bila kusahau MAOMBI juu ya mwenzetu alieondokewa..
Kwa WOTE WALIOGUSWA na wanahitaji kuchangia chochote tafadhali SOMA MAELEKEZO HAPA CHINI KWA UMAKINI.
Account Number CRDB: 01j2096190100 jina ni ROSE ALPHONCE NUNGU
Na kwa wale ambao BANK itawawia vigumu unaweza kutumia SIMU YAKO YA MKONONI kuingiza kwenye account moja kwa moja kwa njia zifuatazo:
Kama unatumia TIGO PESA fata procedure hiyo chini
Kwa kutuma kutoka TigoPesa kuja kwenye account hii ya CRDB fanya kama ifuatavyo
1. Bonyeza *150*01#
2. Chagua 6 HUDUMA ZA KIFEDHA
3. Chagua 1 TIGO PESA kwenda BENKI
4. Chagua kwenye orodha ya mabenki namba moja (1) kwa maana maana ya CRDB
5. Chagua moja (1) kuingiza namba ya kumbukumbu
6. Weka namba ya kumbukumbu ya malipo (01j2096190100)
7. Weka kiasi
8. Ingiza namba ya siri kuhakiki
Na kama unatumia M-PESA fata procedure hiyo chini
Kwa kutuma kutoka M-pesa kuja kwny account hii ya CRDB fanya kama ifuatavyo
1. Bonyeza *150*00#
2. Chagua 4 kulipa kwa MPESA
3. Chagua 4 kuweka namba ya kampuni, weka namba ya kampuni (CRDB no. 900500)
4. Weka namba ya kumbukumbu (01j2096190100)
5. Weka kiasi
6. Weka namba yako ya siri ya Mpesa
7. Bonyeza 1 kuthibithisha
Jina ni ROSE ALPHONCE NUNGU
Na kama unataka namba tu ya kawaida ya simu tumia hii ya chini
0718814581 Rose Nungu
Asanteni sana kwa mioyo yenu.
NB: Rose Nungu ndio jina official la munalove100 hivyo chochote unachotuma kinaenda kwake moja kwa moja.
MUNGU AWABARIKI SANA!!
[HASHTAG]#kutoanimoyosiutajiri[/HASHTAG]