TANZIA: Mtoto wa Rose Nungu (Munalove) Patrick Peter Zacharia Komu (Partsmartboy) Afariki dunia

Duh!...Rest in Peace Angel!...tukumbuke watoto wetu nao wana haki zao, tusilazimishe nao kuingia katika ulimwengu wetu wa ki "super star" kabla.majira yao hayajafika!
Thanx
 
Asante tushapoa.
Alikuwa anaumwa figo na athma.
Ila walifanya siri nasikia mpaka Milly alipoamua kumpost katika page yake ndio habari zikawa wazi.
Too young to die.
Ila bora kasema miye nilikua najua anaumwa ila dah!kumbe serious hvyoo
 
Naomba fafanua namba 5.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…