Tanzia: Muigizaji Rachel Haule afariki dunia

Mpe Hi KANUMBA, mwambie bongo movie imepoteza mvuto! Mwambie sasa imegeuka Dangoro....
 
Yewoo mbona hivi vifo vya uzazi vimezidi sana? Nadhani inahitajika juhudi za kiserikali waache kulimbikiza hela sehemu tusioona mabadiliko wajikite maeneo nyeti kama haya kuondoa hivi vifo vinavyoongezeka kila uchao mimi naamini kuzaa sio kifo .
 
Balance of nature
Bongo movie ikituharibia vijana wakawa na mtazamo mwingine kuhusu maisha na kuufanya utamaduni wetu kuyumba

Vifo vimesaidia mno ku balance hii hali, however still tuna kazi mno ya kuwa lea hawa watoto wetu wakawa katika maadili

Ama kuhusu msiba huu mungu anajua pakumueka huyo
 
Umaskini ndiyo unaochangia vifo vingi vya akina mama na watoto.. Hospitali zetu hazina vifaa vya kutosha...

Hewaaa yani hapo umenena maswala ya kumsingizia Mungu si mazuri vifo vingi vinavyotokea mara nyingi inatokana na kutokuwa na vifaa na uzembe huwezi kuikuta hii kitu kwenye nchi zilizoendelea na ndio maana utasikia kuna mama uk amejifungua salama watoto 17na sasa ni mjamzito aisee roho inaniuma sana yaani mama anaenda hosp kujifungua lakini bado hajui kama atarudi tena kuungana na famly yake halafu mijitu inasherehekea miaka 50 kwa mbwembwe na pesa kibao za walalahoi ama kweli watu huwa wanaangamia kwa kukosa maarifa poleni sana wafiwa Mwenyezi Mungu awatie nguvu.Binadamu tuu mavumbi na mavumbini tutarudi kila nafsi itaonja mauti.
 
Jamani kuna yoyote anajua baadhi ya filamu alizocheza huyu dada maana kwakweli picha siipati vizuri wadau????????
 
uzazi wa siku hizi unamatatzo sana tafiti zinaonesha wanawake wengi nowdays wanazaa kwa operation sijui hosp zimegeuza mtaji ?anyway ni mipango ya mungu RIP Rechal so sad dah!

Ingawa mm cmtaalamu wa hayo mambo lkn tatizo kubwa ninaloliona ni Kwamba Wanawake wa sasa wana Maumbile madogo yanayopelekea NYONGA pia kuwa ndogo...! Tofauti na zamani waliokuwa wanazaa ni waMAMA wenye maumbile maKUBWA case hizi za OP zilikuwa ndg sana Labda km mtt amekaa vibaya...!
 
zamani ilikuwa mtu kujifungua kwa oparesheni na wachache sana wanawake walikuwa na nguvu sana ya kusukuma saivi kila mtu oparesheni duuuuu kizazi hiki laini mno

Nadhani 7bu ni nyingi ikiwa nahiyo ya Vyakula Mjamzito anaishi kwa Kula CHIPS nguvu yakusukuma atatoa wapi lkn Tatizo jingine wanawake wasasa % kubwa wana NYONGA ndogo...!
 

Wabongo wengi wakishaona KAPELO,KANGA na PILAU hawawezi kuifikiria Kesho yao...!
 
uzazi wa siku hizi unamatatzo sana tafiti zinaonesha wanawake wengi nowdays wanazaa kwa operation sijui hosp zimegeuza mtaji ?anyway ni mipango ya mungu RIP Rechal so sad dah!

Acha kumsingizia Mungu ndugu na la nyongeza kwa hawa dada zangu wajawazito kwa sasa ukiwa mjamzito jama mazoezi na lishe ni mazuri ni kitu muhimu sana pamoja na klinic utamkuta mama mjamzito labda kajaliwa ana kagari basi ndio akitoka nyumbani kwenye gari ofisini hata yale mazoezi na vijikazi vidogo vidogo hawafanyi na ndio maana operation mjini zinakuwa nyingi kijijini mtu anaenda hosp kujifungua asubuhi jioni anaruhusiwa kurudi nyumbani kutokana na kujishughulisha na kazi kuwa rahisi kwao kujifungua kwa njia ya kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…