Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,574
- 4,070
Y not you?
I'm here to stay!
You could be walking dead
R.I.p rachel ila hizo nguo fupi ulikuwa unazipenda lakini si vema kimaadili na ninaamini ni chukizo mbele za Mwenyezi Mungu. pumzika kwa amani
Umepanic braza!
Acha kufatilia wanaume, utajaliwa nya!
Nashindwa kukanusha moja kwa moja...lakini pia nachelea kukubaliana nawe dada Munkari ... kutokana na maendeleo ya kisayansi na technolojia, imewezekana kuestablish trend jinsi ambavyo mja mzito aliye kwenye labor anaprogress ili kuzaa. Na hivyo mzalishaji (Daktari, nesi, mkunga, etc) anaweza kumonitor progress hiyo, na kuna viashiria wakati unamonitor progress kuwa huyo mja mzito anaprogress vizuri na atazaa katika muda muafaka au la. Hii pia inakuwezesha kuamua kuintervene kama kumuanzishia mama 'maji ya uchungu' ili kuaccelerate labor unapoona haprogress inavyotegemewa. Lakini pia kumonitor process kunasaidia kujua kuwa mama hatajifungua kawaida na hivyo kuitaji operation (Caeserean section). Na hii ni muhimu kuokoa wote...mama na motto (hasizaliwe kachoka akachelewa kulia akapata ulemavu wa ubongo na/au viungo). Ndio maana unaona siku hizi operations zinafanyika sana pindi unapoona inastahili..sio biashara!
Muombe mungu siku zote,sio karibu na kujifungua au ukiwa na matatizommmh pole sana uzazi wa sikuhizi jaman yani kama ni ndugu yako mjamzito siku zake za kujifungua zimefika ni kumuomba mungu kwakweli !
Siongei kitu.
Hili tatizo limekua jisugu yani kila mama mzito ambiwa ajifungua kwa surgery na kupona ni aghalabu mno.I think something is realy wrong somewhere.
MUNGU AMUWEKE PAHALA ANAPOSTAHILI.
Guess what? Wema Sepetu is next!
Heeeee !!!!!
Dah Steve inabidi ujiuzulu mbona yangu uvjukue kiti wasanii wanadondoka
Rip Recho
Another mchongo mwingine amjarejesha masalia ya michango ya adamu mpaka sasaa hata kutoa mchanganuo
Naomba kuuliza huyo Rachel alikuwa ameolewa??....