Tanzia: Mwanamuziki Moses Bushagama (Mez B) afariki dunia

Hivi Jafarai siyo mmoja wao?!

Jafarai Yuko wateule na KINA Jaymore, Mchizmox, Solo thang.....
chamber Squad alikuwa Ngwair R.I.P, Mez B R.I.P, dark master na Noora ingawa Noora Hali yake kiafya haiko vizuri anasumbuliwa na tatizo la utumbo kujisokota. MUNGU awape faraja wote ndugu, jamaa na marafiki lakini tuwaombee afya wagonjwa.
 
RIP Mez B .....Noorah Mungu akupe afya njema ......
 
RIP mwanachemba. Nimemkumbuka Dickson Tegemea wa EATV na kaka yake Alex Tegemea,watoto wa Dom.
 
KikulachoChako;

Unaongea sana as if wewe ni malaika unatenda mema kila wakati... wakati wa msiba watu wenye busara hutafakali kimyakimya
Munguwatosha Lengo langu halikuwa kuonyesha ufundi wa kuongea bali ni katika kukumbushana...kwani sisi sote hakuna mkamilifu.....kama nimekukwaza kwa kuwakumbusha wanaadamu wenzangu mambo mazuri ninaomba msamaha wa dhati ndugu yangu......nasisitiza tena lengo langu lilikuwa sio kukukwaza...........
 
KikulachoChako;

Unaongea sana as if wewe ni malaika unatenda mema kila wakati... wakati wa msiba watu wenye busara hutafakali kimyakimya
Munguwatosha Lengo langu halikuwa kuonyesha ufundi wa kuongea bali ni katika kukumbushana...kwani sisi sote hakuna mkamilifu.....kama nimekukwaza kwa kuwakumbusha wanaadamu wenzangu mambo mazuri ninaomba msamaha wa dhati ndugu yangu......nasisitiza tena lengo langu lilikuwa sio kukukwaza...........
 
RIP Mez B.
Umetangulia nasi tutafuata.
Amina.
 
daaah so soon bro!

Mazengo camp inazid pukutika!! kama kuna kuonana hivto NGWEA!!!
those days akiwa monitor na Monitress...!!! kweli tumekua jaman
 

Pukudu asante kwa ufafanuzi mzuri sana.
 
RIP MEZ B, kibao kama vipi kimetulia aisee zamani walikuwa wanapanga mashairi kiukweli
 
Last edited by a moderator:
Jamani hutakiwi ku'like' bandiko lolote linalotoa taarifa ya Kifo. Vinginevyo utaambiwa umerukwa na utu au ulikuwa na kinyongo kikali dhidi ya mwenda zake.

R.I.P Moses.
Like inayotolewa mkuu ni kumshukuru alieleta uzi au taarifa ambayo kwa namna moja ama nyingine ni muhimu na kama si mleta taarifa basi yule aliyetoa like asingepata hiyo information kwa kipindi hicho ambapo imemfikia sio kwamba wamefurahia kifo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…