Mr Adam Gella
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,327
- 664
RIP mwanachemba
Unamaanisha kwamba huyu dogo pia alikuwa member wa camp ya chemba squad ? Dah aise hii kambi sasa inazidi kupukutika alianza NGWEA sasa MEZ B aise..!! RIP Mezz B
Taarifa zaidi alikuwa anasumbuliwa na homa ya mapafu:TB
wakali wa chemba wanaisha nafkiri kabaki darkmaster
Taarifa zaidi alikuwa anasumbuliwa na homa ya mapafu:TB
Na aweke tu mwenzangu mimi nimeshamsahau tokea enzi ya kikuku cha mama Rhoda