chukuachako
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,209
- 817
Hizo nyanya zinaliwa na binaadamu au na nyani?
Duh siku hizi ukianguka tu kifo.
yeah amefariki... hata diamond ameposti hii kitu instagram
R.I.P Bonge
Kwaio kama diamond kapost bhas ndo habari ni ya kweli......
Daaah,
Mungu huyu!!!!
Pumzika kwa amani kijana.