Tanzia: Mwenyekit wa ccm afariki dunia

Tanzia: Mwenyekit wa ccm afariki dunia

mmaranguoriginal.

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
4,060
Reaction score
460
NDUGU WANACHAMA WA CCM, napenda kuwapa pole sana kwa kifo cha rafiki yetu,ndugu yetu,baba yetu na mzee wetu BWANA ABSALOOM NANYARO ambaye amekuwa mwenyekiti wa ccm kata ya NNKORANGA,kifo chake kimetokea jana usiku na mazishi yatafanyika nyumbani kwake NNKOANEKOLI eneo la mangusha siku ya jumanne,tunawaomba wanachama wa ccm na wananchi wote wakaribie kwenye mazishi kumpumzisha mzee wetu kwenye nyumba yake ya milele. BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIDIMIWE.NAWASILISHA
 
Back
Top Bottom