Tuliofuatili World Cup 2002 tunamkumbuka huyu Mwamba
Mchezaji wa zamani wa Kimataifa wa Senegal, Papa Bouba Diop amefariki akiwa na umri wa miaka 42 baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Diop anakumbukwa zaidi kwa goli lake la ushindi dhidi ya Ufaransa kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kombe la dunia (Japan na Korea) Mwaka 2002.
We belong to Allah and to Him we shall returnانا لله و انا اليه راجعون
Roman Catholic wana imani za ajabu sana.May The Holy Mary Mother of mercy Receive his Son.
Amen
We belong to Allah and to Him we shall return
AminaSurely we belong to Allah and surely we shall return to Him.
Finally?[emoji16]namkumbuia yeye pamoja na Diof kwenye fainali ya kombe la dunia 2002
samahani mkuu, mvinyo umeshanikolea..Finally?[emoji16]
Yani Mary naya anapokea roho za watu, hii sijui wanaitoa wapi.Roman Catholic wana imani za ajabu sana.
Anyway this is life.