TANZIA: Papa Baupa Diop afariki Dunia

Dah jamaa alikuwa tafu sana kiungo pale alifunga goli pia kwenye mechi na uturuki ya 3 kwa 3 nadhani iliisha kwenye makundi yaani Rest In Peace Mwamba
 
Aisee diop noma kikosi Bora cha Senegal ndio lilikuwa hicho yaani hapa kamara ,hapa Fadiga,hapa Alhaji Diouf mpaka Raha France anakufa goli moja ,huku zidane akishangaa pale bench ,mwisho kabisa nilijifunza kitu katika mashindano Yale ya dunia 2002 pale Japan na Korea kwamba wazungu hawajawahi kuwapenda Waafrika Senegal walikuwa wanavuka hatua ya nusu lakini kwa kuwa refa alipangwa lazima Senegal washindwe kwa namna yoyote basi wakafanyiwa figisu kama za NEC wakarudi nyumbani hapa chini nimeweka picha wakati alipochapwa kombe la FA akiwa na Portsmouth club ,aliyeupande wa kushoto ni DIOP na aliyeupande wa kulia ni NWANKO KANU wakisherehekea ushindi wa timu yao
 

Attachments

  • 12763875_362348408998725imagea481606673884255_jpeg97961b69c05d6daad2029a9631bd06de.jpeg
    41.2 KB · Views: 2
Papa Bouba Diop ahsante kwa historia nzuri, upumzike kwa Amani
 
Roman Catholic wana imani za ajabu sana.

Anyway this is life.
Rest In Protons Mwamba Diop. Umewakilisha.

Imani za dini kubwa zote ni za ajabu.

Zimejikita kwenye kukubali uwepo wa Mungu asiyethibitishika.

So, unless huamini imani hizi zote, this will be a case of the pot calling the kettle black.
 
Kiburi cha uzima na afya
Hapana.

Kiburi ni kusema "mimi nafuata dini sahihi, Mungu wangu ndiye sahihi, ana majibu yote, nyie wengine Mungu wenu ni wa ajabu na si sahihi".

Mimi ninayekubali kwamba mimi ni mtu tu, mambo ya Mungu sijayakubali, siwezi kuwa na kiburi.

You got it backwards.
 
Naona Kuna kamada kapya hapa kanataka kuibuka.....ngoja nisabuskraibu..

R.i.p Diop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…