Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba ni baba hata kama analiwa?Baba ni Baba tu, YANGA ndio Bingwa msimu huu....🤣🤣🤣
Baba haliwi, Baba anakula mama kama Yanga tunavyokula Koloz, bao za kutosha...vitano, kimoja n.kBaba ni baba hata kama analiwa?
Aliyeliwa jana nani?Au baba feki?Au baba ubwabwa?Baba sio riziki.Baba haliwi, Baba anakula mama kama Yanga tunavyokula Koloz, bao za kutosha...vitano, kimoja n.k
Unzungumzia jana wakati mimi namzungumzia mama aliyezoea kuliwa kwa style zoteAliyeliwa jana nani?Au baba feki?Au baba ubwabwa?Baba sio riziki.
Mama kuliwa sio ajabu lakini "baba"kuliwa kiboga anaendelea kuitwa baba?Unakwepa swali jibu swali.Wacha kurukaruka maharage jikoni.Unzungumzia jana wakati mimi namzungumzia mama aliyezoea kuliwa kwa style zote
Mazishi jangawani kesho asubuhi
Sijui kanywa Nini huyo ,🏃Mbona chupi ipo nusu mlingoti?Na vinywaji vimetapakaa?Kuna usalama?