Tapeli Hush Puppi apunguziwa kifungo hadi miaka 11

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Serikali ya Marekani imekubali kupunguza kifungo cha “tapeli wa mitandaoni” Hush Puppi hadi miaka 11 kwa kuwasaidia wapelelezi kutatua kesi nyingine.

Hush Puppi maarufu raia wa Nigeria aliyeongoza genge la utapeli kwenye mtandao alikamatwa na kuhukumiwa huko Dubai mnamo 2020 kwa kufanikiwa kuwaingiza mkenge wa ukaghai watu wengi kutoka Ulaya na Marekani.

Inasemekana alitengeneza zaidi ya Tsh. Bilioni 800 katika kipindi cha miezi 18.

 
Mbona background yake haionyeshi kusoma mambo ya ICT/IT.
 
hawa ndio wale wanaojifanyaga madem walio kimbia vita senegal au maruban wa ndege sjui wa facebook?!!
wanajifanya wanao tuma zawad za kitapel baada ya kuwatumia transfer fees
 
Bora asingeenda Dubai angekuja kuwaonja dada za kibongo mpk zenji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…