Tapeli wa Walimu huyu...

Joined
Apr 8, 2014
Posts
60
Reaction score
18
Huyu jamaa ni tapeli sana.. Anatazama namna watu mnavotaka kubadilishana vituo vya kazi then ataku-pm.. Utamuona anajifanya anajua issue yako then ukimchunguza utaona mengine hajui. Akikupgia Simu atajifanya anakusaidia na Yupo, wizarani,utumishi, au tamisemi pale mwisho utakuta topic ya hela hata akisema laki mbili ukishuka nae mpaka 40 anakuja... Sasaa unajiuliza nani Ana njaa ya elfu 40 kule utumishi. Ukimwambia njoo tuonane anakwepa anataka umtumie pesa
Anaishi Dar namba zake hizi hapa.. Jihadharini +255766783601,,0715590538 mkiziona anajifanya anataka kubadilishana kituo mjue Muongo.
 
huyo jamaa alishawahi kunipigia namba hiyo ya tigo alijitambulisha kwa jina la honesty mgona Na ni afisa utumishi ofisi ya rais, aliniambia taarifa zangu za kutaka kuhama zimefika ofisini kwake, aliniuliza kama Nina undugu Na prof mwakyosi nilimjibu simfahamu ni ubin tu unafanana sina undugu naye Na wala simfahamu. akaniambia atanisaidia kwa vile anafahamiana vizur Na prof huyo hata kama sina undugu naye. mashaka yalianza pale aliponiambia nimtumie check namba, TSD namba Na file namba.
nilimuuliza kama taarifa zangu zimekufikia ina maana barua zangu za uhamisho mbona zina taarifa zote unazozitaka? alinijibu barua yako iliyofika INA namba ya simu tu ndiyo maana nimekupigia ili nipate details zaidi. nikamuuliza tena taarifa zangu umezipatje? akanijibu afisa utumishi wangu ndiye amezituma Na inawezekana ameziandika upya, nikamjibu barua niandike mm Nazi sign alafu mwingine aziandike upya? mbona mfumo huo wa utumish Tanzania hatuna umeanza lini? nikambia huyo afisa utumishi aliyekupa taarifa zangu Na aliyeandika barua yangu upya mpigie akupe details zangu zote nilizoandika kwenye batua yangu ya a wali. jamaa akamaind nataka nikusaidie unalet a ubishi akakata simu. hiyo namba yake tigo ninayo na line yake imesajiliw kwa jina nililolitaja hapo juu.
NB walimu wenzangu utapele huo upo nimeshuhudia watu wa4 wameibiwa, mmoja aliibiwa laki5, wawili laki Tatu tatu mwingine laki1, yaani huyu was laki5 alipata hadi barua ya tamisemi kumbe feki akapeleka kwa mkurigenzi ikasiniwa akafunga datasheet , akauza kila kitu akahamia mbeya. alipofika mbeya ndyo anaambiwa umeibiwa uhamisho wako feki rudi mbinga jamaa alichanganyikiwa. alirudi mbinga anapiga mzigo
 
Watu hawana huruma jamaa ni wa kukamatwa huyo.
 
Watu hawana huruma jamaa ni wa kukamatwa huyo.

kabisa Mkuu aliniponipigia Mara ya pili nilimwambia usinisumbue ukiendekea napelekeka namba yako polisi akapote ila ukimwambia tukutane ana mute
 
Ashawahi nipigia nakutakanimpe hela ya mawasiliano na mkurugenzi nnakota kuhamia nikamchana live kuwa nimwizi
 
jamaa kaona fursa anaitumia. maana hata HLSSF wamewahi ibiwa pesa na hawakukamatwa.
 
Huyo ni tapeli mkubwa, anaitwa mr. mgona kwa mjibu wa maelezo yake anajifanya yuko ofsi kuu ya utumishi, alitaka kumlaghai dogo langu eti amtoe shule anayofundisha ampeleke halmashaur akafanye kazi, akukuta dogo toto la mjini akatushirikisha kidogo tumkamate bt aliponea chupuchpu

NB; kueni makini ila tutamkamata msijali
 
Kuna bro mmoja mwl wa primary alikuwa anawasiliana naye, nilimsihi sana aachane naye ni tapeli hakunielewa, hulka ya kuhama ikamponza akamwomba laki ili mchakato uende haraka amkamtumia, pia akamwomba amtumi 30 kwa ajili ya posta akampa. saiz anajuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…