Mtoa mada ni F ala kama hili tangazo linawahusu wanajeshi wenye Diploma umelileta hapa jukwaani kufanya nini.,nyie si mnaubao wa matangazo,peleka kwny oda zenu.
Kazi yenyewe mnanyanyasana,hao wenye Dip waliingia jeshi tangu 2010 mpk leo hawajapelekwa TMA,priority wamepewa 4m6.Wanaojaribu kujiendeleza mnawapeleka kwny gwaride la muungano.
Poleni sana wanajeshi wenye Dip,ipo siku system itabadilika,bora mngebaki mtaani wenzenu wanaajiriwa kwny sekta binafsi na serikalini.Ona fagio lililopita hivi karibuni wenye diploma za uhasibu wamezolewa wengi kwenda TRA,FINCA,TANAPA.Wenye Dip za sayansi wanaajiriwa kila siku wanaishi kwa raha mustarehe uraiani.