Troojan
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 967
- 675
Wanabody nakuja kwenu kuomba msaada wa kisheria ni jinsi gani naweza kuishtaki mamlaka ya maji kwa kunibambikizia bili uku ikishinikiza nilipe pasipo majadala uki wakitishia kunikatia maji.
Bili imekuja mara 4 ya bili ya awali na hakuna kilichoongezeka.
Bili imekuja mara 4 ya bili ya awali na hakuna kilichoongezeka.