MPSZX PAULO
Member
- Mar 12, 2020
- 40
- 36
Jamani kuna taratibu gani za kufuata kisheria iwapo umebakiwa mtoto asiye wako ukahudumia kuanzia mimba mpaka mtoto kuzaliwa ukaendelea kuhudumia halafu baadae ukaambiwa mtoto siyo wako.
Je, kuna haki ya kufungua kesi ya madai na ukalipwa gharama zote?
Je, kuna haki ya kufungua kesi ya madai na ukalipwa gharama zote?