Taratibu sahihi za kumfukuzisha mfanyakazi

Taratibu sahihi za kumfukuzisha mfanyakazi

FADHILI KIKA

Member
Joined
Jun 10, 2013
Posts
6
Reaction score
0
Hivi jamani ni upi ni utaratibu sahihi wa kumfukuza mfanyakazi wako ambaye ameshakutumikia zaidi ya mwaka mmoja na nusu hivi,ili sheria isikubane?
 
Back
Top Bottom