Taratibu za Graduation ya Mzumbe Dar Bussiness School zikoje?

Dr. Ndimu

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2012
Posts
717
Reaction score
146
Tafadhalini ndugu zangu mlioko Dar mnafahamu au mejua taratibu za Graduation ya masters hapo tarehe 14 kama vile majoho yanatolewa lini na kwa shilingi ngapi na vitu vingine vinavyoweza tusaidia sisi tulioko mbali na dar..
 
Majoho yanaanza kutolewa jumatatu th 10/11/12 kwa gharama ya Tshs 45,000/- na utakaporudisha joho hilo ndani ya siku 7 utakuwa refunded Tshs 10,000/-. Karibu DIAMOND JUBILEE on 14/11/12.
 
Asante sana Katalina, Hongera sana nadhani nawe ni mshiriki...
 
Na vipi ndugu zangu, naweza hata kumtuma mtu kunichukulia labda kwa kumpa utambulisho wa namna fulani?
 
Na vipi ndugu zangu, naweza hata kumtuma mtu kunichukulia labda kwa kumpa utambulisho wa namna fulani?


Hili sina uhakika nalo......... Tusubili jibu kutoka kwa wadau wengine
 
Hivi mwl wenu Darlene bado yupo pale?
Ana kingreza kizuri sana yule binti,ata ivo pia sio mchoyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…